BETTING kuchangia Bima ya Afya kwa Wote | The Dodoma Post
The Dodoma Post Siasa

BETTING kuchangia Bima ya Afya kwa Wote

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema kutokana na upekee wa Bima ya Afya kwa Wote, Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Wizara ya Fedha wamependekeza baadhi ya vyanzo vya mapato vya kuendesha mfuko huo.

Winner Marawiti
By Winner Marawiti
01 Nov 2023
BETTING kuchangia Bima ya Afya kwa Wote

Vyanzo hivyo ni pamoja na sehemu ya mapato yatokanayo na ushuru wa bidhaa kwenye vinywaji vyenye kaboni, vinywaji vikali,
bidhaa za vipodozi, kodi ya michezo ya kubahatisha, ada ya Bima za vyombo vya moto na mapato yatokanayo na ushuru wa miamala ya kielektroniki kwa kadiri itakavyopendekezwa na Waziri mwenye dhamana na masuala ya fedha, fedha zitakazotengwa na Bunge, mapato yatokanayo na uwekezaji wa mfuko na zawadi
pamoja na misaada kutoka kwa wadau mbalimbali.

Waziri Ummy ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma wakati akiwasilisha Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote ambao ulikwama mwezi Februari mwaka huu kwa hoja iliyotolewa na Bunge ya kutokuwepo kwa chanzo endelevu cha fedha za kutekeleza mpango huo.

DKT NCHIMBI AITEKA RORYA | WANANCHI WATHIBITISHA KUTIKI OKTOBA  29 KWA KISHINDO.

DKT NCHIMBI AITEKA RORYA | WANANCHI WATHIBITISHA KUTIKI OKTOBA 29 KWA KISHINDO.

MZEE JOSEPH BUTIKU ALIVYOIBUKIA KATIKA MKUTANO WA KAMPENI WA DK.EMMANUEL NCHIMBI RORYA

MZEE JOSEPH BUTIKU ALIVYOIBUKIA KATIKA MKUTANO WA KAMPENI WA DK.EMMANUEL NCHIMBI RORYA

BALOZI DKT.NCHIMBI AWANADI AWANADI WAGOMBEA UBUNGE TARIME.

BALOZI DKT.NCHIMBI AWANADI AWANADI WAGOMBEA UBUNGE TARIME.

MONALISA APINGA VIKALI KUVULIWA UANACHAMA ACT.

MONALISA APINGA VIKALI KUVULIWA UANACHAMA ACT.

KASI YA UJENZI WA VIWANDA VYA KUONGEZA THAMANI  MADINI YAONGEZEKA NCHINI TANZANIA

KASI YA UJENZI WA VIWANDA VYA KUONGEZA THAMANI MADINI YAONGEZEKA NCHINI TANZANIA